swh_bib1 Samweli 23:1
Daudi alipoambiwa kuwa, “Tazama, Wafilisti wanapigana dhidi ya Keila nao wanapokonya nafaka katika sakafu za kupuria,”
eng_kjv1 Samuel 23:1
Then they told David, saying, Behold, the Philistines fight against Keilah, and they rob the threshingfloors.