swh_bib1 Samweli 20:18
Kisha Yonathani akamwambia Daudi, “Kesho ni sikukuu ya Mwezi Mwandamo. Itajulikana kwamba haupo kwa kuwa kiti chako kitakuwa hakina mtu.
eng_kjv1 Samuel 20:18
Then Jonathan said to David, To morrow is the new moon: and thou shalt be missed, because thy seat will be empty.