swh_bib1 Samweli 1:4
Kila mara ilipofika siku ya Elikana kutoa dhabihu, aliwapa mafungu Penina mkewe na wanawe wote pamoja na binti zake.
eng_kjv1 Samuel 1:4
¶ And when the time was that Elkanah offered, he gave to Peninnah his wife, and to all her sons and her daughters, portions: