swh_bib1 Samweli 18:13
Kwa hiyo Sauli akamwondoa Daudi mbele yake na kumpa kuwa kiongozi wa watu elfu moja, naye Daudi akatoka na kuingia akiongoza vikosi katika vita.
eng_kjv1 Samuel 18:13
Therefore Saul removed him from him, and made him his captain over a thousand; and he went out and came in before the people.