1 Samweli 18:12

swh_bib1 Samweli 18:12

Sauli akamwogopa Daudi, kwa sababu Bwana alikuwa pamoja na Daudi, lakini alikuwa amemwacha yeye.

eng_kjv1 Samuel 18:12

¶ And Saul was afraid of David, because the LORD was with him, and was departed from Saul.