swh_bib1 Samweli 16:21
Daudi akafika kwa Sauli na kuingia kwenye kazi yake. Sauli akampenda sana, naye Daudi akawa mmoja wa wabeba silaha wake.
eng_kjv1 Samuel 16:21
And David came to Saul, and stood before him: and he loved him greatly; and he became his armourbearer.