1 Samweli 16:20

swh_bib1 Samweli 16:20

Kwa hiyo Yese akamchukua punda aliyepakizwa mikate, kiriba cha divai na mwana-mbuzi, na kuvipeleka vitu hivyo kwa Sauli pamoja na Daudi mwanawe.

eng_kjv1 Samuel 16:20

And Jesse took an ass laden with bread, and a bottle of wine, and a kid, and sent them by David his son unto Saul.