swh_bib1 Samweli 15:14
Lakini Samweli akasema, “Nini basi huu mlio wa kondoo masikioni mwangu? Huu mlio wa ngʼombe ninaousikia ni kitu gani?”
eng_kjv1 Samuel 15:14
And Samuel said, What meaneth then this bleating of the sheep in mine ears, and the lowing of the oxen which I hear?