1 Wafalme 6:18

swh_bib1 Wafalme 6:18

Hekalu ndani ilikuwa ya mierezi iliyonakshiwa mifano ya maboga na maua yaliyochanua. Kila kitu kilikuwa cha mwerezi, hakuna jiwe ambalo lilionekana.

eng_kjv1 Kings 6:18

And the cedar of the house within was carved with knops and open flowers: all was cedar; there was no stone seen.