swh_bib1 Wafalme 6:18
Hekalu ndani ilikuwa ya mierezi iliyonakshiwa mifano ya maboga na maua yaliyochanua. Kila kitu kilikuwa cha mwerezi, hakuna jiwe ambalo lilionekana.
eng_kjv1 Kings 6:18
And the cedar of the house within was carved with knops and open flowers: all was cedar; there was no stone seen.