swh_bib1 Wafalme 3:3
Solomoni akaonyesha upendo wake kwa Bwana kwa kuenenda sawasawa na amri za Daudi baba yake, ila yeye alitoa dhabihu na kufukiza uvumba huko mahali pa juu.
eng_kjv1 Kings 3:3
And Solomon loved the LORD, walking in the statutes of David his father: only he sacrificed and burnt incense in high places.