swh_bib1 Wafalme 19:12
Baada ya tetemeko la nchi ukaja moto, lakini Bwana hakuwamo katika ule moto. Baada ya moto ikaja sauti ya utulivu ya kunongʼona.
eng_kjv1 Kings 19:12
And after the earthquake a fire; but the LORD was not in the fire: and after the fire a still small voice.