swh_bib1 Wafalme 11:43
Kisha Solomoni akalala pamoja na baba zake, naye akazikwa katika mji wa Daudi baba yake. Naye Rehoboamu mwanawe akawa mfalme baada yake.
eng_kjv1 Kings 11:43
And Solomon slept with his fathers, and was buried in the city of David his father: and Rehoboam his son reigned in his stead.