swh_bib1 Wafalme 11:17
Lakini Hadadi, akiwa bado mvulana mdogo, alikimbilia Misri akiwa na baadhi ya maafisa wa Kiedomu waliokuwa wakimhudumia baba yake.
eng_kjv1 Kings 11:17
That Hadad fled, he and certain Edomites of his father’s servants with him, to go into Egypt; Hadad being yet a little child.