swh_bib1 Wafalme 11:12
Hata hivyo, kwa ajili ya Daudi baba yako, sitafanya jambo hili wakati wa uhai wako. Nitaurarua kutoka mikononi mwa mwanao.
eng_kjv1 Kings 11:12
Notwithstanding in thy days I will not do it for David thy father’s sake: but I will rend it out of the hand of thy son.