swh_bib1 Wakorintho 8:5
Kwa kuwa hata kama wapo hao wanaoitwa miungu, kama wakiwa mbinguni au duniani (kama ilivyo kweli wapo “miungu” wengi na “mabwana” wengi),
eng_kjv1 Corinthians 8:5
For though there be that are called gods, whether in heaven or in earth, (as there be gods many, and lords many,)