swh_bib1 Wakorintho 7:7
Laiti watu wangekuwa kama mimi nilivyo. Lakini kila mtu amepewa kipawa chake kutoka kwa Mungu, mmoja ana kipawa cha namna hii na mwingine ana cha namna ile.
eng_kjv1 Corinthians 7:7
For I would that all men were even as I myself. But every man hath his proper gift of God, one after this manner, and another after that.