swh_bib1 Wakorintho 7:31
nao wale wanaoshughulika na vitu vya dunia hii, kama ambao hawahusiki navyo. Kwa maana dunia hii kama tunavyoiona sasa inapita.
eng_kjv1 Corinthians 7:31
And they that use this world, as not abusing it: for the fashion of this world passeth away.