swh_bib1 Wakorintho 6:1
Kama mtu yeyote wa kwenu ana ugomvi na mwenzake, anathubutuje kuupeleka kwa wasiomcha Mungu ili kuamuliwa badala ya kuupeleka kwa watakatifu?
eng_kjv1 Corinthians 6:1
Dare any of you, having a matter against another, go to law before the unjust, and not before the saints?