swh_bib1 Wakorintho 2:8
Hakuna hata mtawala mmoja wa nyakati hizi aliyeelewa jambo hili. Kwa maana kama wangelielewa, wasingemsulubisha Bwana wa utukufu.
eng_kjv1 Corinthians 2:8
Which none of the princes of this world knew: for had they known it, they would not have crucified the Lord of glory.