1 Wakorintho 2:8

swh_bib1 Wakorintho 2:8

Hakuna hata mtawala mmoja wa nyakati hizi aliyeelewa jambo hili. Kwa maana kama wangelielewa, wasingemsulubisha Bwana wa utukufu.

eng_kjv1 Corinthians 2:8

Which none of the princes of this world knew: for had they known it, they would not have crucified the Lord of glory.