swh_bib1 Wakorintho 1:25
Kwa maana upumbavu wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, nao udhaifu wa Mungu una nguvu kuliko nguvu ya wanadamu.
eng_kjv1 Corinthians 1:25
Because the foolishness of God is wiser than men; and the weakness of God is stronger than men.