1 Wakorintho 14:31

swh_bib1 Wakorintho 14:31

Kwa maana wote mnaweza kutoa unabii, mmoja baada ya mwingine, ili kila mtu apate kufundishwa na kutiwa moyo.

eng_kjv1 Corinthians 14:31

For ye may all prophesy one by one, that all may learn, and all may be comforted.