swh_bib1 Wakorintho 14:27
Kama mtu yeyote akinena kwa lugha, basi waseme watu wawili au watatu si zaidi, mmoja baada ya mwingine na lazima awepo mtu wa kutafsiri.
eng_kjv1 Corinthians 14:27
If any man speak in an unknown tongue, let it be by two, or at the most by three, and that by course; and let one interpret.