1 Wakorintho 14:27

swh_bib1 Wakorintho 14:27

Kama mtu yeyote akinena kwa lugha, basi waseme watu wawili au watatu si zaidi, mmoja baada ya mwingine na lazima awepo mtu wa kutafsiri.

eng_kjv1 Corinthians 14:27

If any man speak in an unknown tongue, let it be by two, or at the most by three, and that by course; and let one interpret.