swh_bib1 Wakorintho 10:29
Nina maana dhamiri ya huyo aliyekuambia, wala si kwa ajili ya dhamiri yako. Lakini kwa nini uhuru wangu uhukumiwe na dhamiri ya mtu mwingine?
eng_kjv1 Corinthians 10:29
Conscience, I say, not thine own, but of the other: for why is my liberty judged of another man’s conscience?