swh_bib1 Mambo Ya Nyakati 7:17
Mwana wa Ulamu alikuwa: Bedani. Hawa ndio waliokuwa wana wa Gileadi mwana wa Makiri, mwana wa Manase.
eng_kjv1 Chronicles 7:17
And the sons of Ulam; Bedan. These were the sons of Gilead, the son of Machir, the son of Manasseh.