1 Mambo Ya Nyakati 6:33

swh_bib1 Mambo Ya Nyakati 6:33

Wafuatao ni watu waliohudumu pamoja na wana wao: Kutoka ukoo wa Kohathi walikuwa: Hemani, mpiga kinanda, alikuwa mwana wa Yoeli, mwana wa Samweli,

eng_kjv1 Chronicles 6:33

And these are they that waited with their children. Of the sons of the Kohathites: Heman a singer, the son of Joel, the son of Shemuel,