swh_bib1 Mambo Ya Nyakati 6:31
Hawa ndio watu ambao Daudi aliwaweka kuwa viongozi wa uimbaji katika nyumba ya Bwana, baada ya Sanduku la Agano kuletwa ili kukaa huko.
eng_kjv1 Chronicles 6:31
And these are they whom David set over the service of song in the house of the LORD, after that the ark had rest.