1 Mambo Ya Nyakati 4:12

swh_bib1 Mambo Ya Nyakati 4:12

Eshtoni akawazaa Beth-Rafa, Pasea na Tehina. Tehina alikuwa baba wa Iri-Nahashi. Hawa ndio waliokuwa wazao wa Reka.

eng_kjv1 Chronicles 4:12

And Eshton begat Beth-rapha, and Paseah, and Tehinnah the father of Ir-nahash. These are the men of Rechah.