swh_bib1 Mambo Ya Nyakati 2:6
Wana wa Zera walikuwa: Zimri, Ethani, Hemani, Kalkoli na Dara. Jumla ya wana wa Zera walikuwa watano.
eng_kjv1 Chronicles 2:6
And the sons of Zerah; Zimri, and Ethan, and Heman, and Calcol, and Dara: five of them in all.