1 Mambo Ya Nyakati 2:4

swh_bib1 Mambo Ya Nyakati 2:4

Tamari, mkwewe Yuda, alimzalia wana wawili: Peresi na Zera. Yuda alikuwa na jumla ya wana watano.

eng_kjv1 Chronicles 2:4

And Tamar his daughter in law bare him Pharez and Zerah. All the sons of Judah were five.